OFA ITAKOMA BAADA YA SAA HII KUZIMA

Unaelekea Kujua Jinsi Ambavyo Utapata Suluhisho la Upungufu wa Nguvu za Kiume Suluhisho Litakalokuwezesha Kupiga Shoo ya Maana Kwa Muda Mrefu na Sio Kumwaga Unapogusa Tu Bali Utaweza Kurudia Hata Raundi 3!

Mpendwa Msomaji,

Kama Unataka kusimamisha Uume wako kama mti mkavu usionepa kwa muda wa kutosha (dk 15 na zaidi) ambapo utachelewa kumwaga wakati wa kujamiiana na mtu wako

Ujihakikishie ushindi katika shoo hiyo kwa asilimia 100

Bila Kuchoka na Kusalimu amri mapema

Ukamfanya mkeo au mwenzi wako akuone ni mwanaume wa shoka jambo litakalomfanya akukumbuke ukiwa mbali nae na awe na Hamu ya kushiriki nawe tendo kwa kuwa anakuwa anaweza kufika kileleni hadi mara 3!

Na si hivyo tu bali uwe na ujasiri kukaa kati ya wanaume wenzako ambao wakijua una upungufu wa nguvu za kiume watakushushia hadhi yako

Uweze kutatua tatizo lako la upungufu wa nguvu za kiume katika namna ambayo haitakuletea madhara au athari za ziada nikimaanisha upate matibabu salama kwa afya ya mwili wako

Upate suluhisho la kudumu na si utatuzi wa muda mfupi tu na kuwa mwathirika wa njia za muda mfupi zinazokufanya uwe mtumwa wa kuzitumia kila siku

Basi Ujumbe huu utakuwa ni wa kufurahisha au kusisimua ambao utapata kuusoma siku ya leo.

Na hii hapa ni sababu Kwa Nini …

Unaelekea kugundua Suluhisho Jipya na la Kipekee ambalo litakufanya umridhishe mwenzi wako hata asiwe na tamaa ya kukusaliti maana anapata shoo ya nguvu kutoka kwako inayomfanya asiangalie mambo mengine kama vile umri wako …. Mwonekano wako na hata umbile la mtambo wako kwa sababu kutokana na suluhisho utakalolipata hapa ukisoma mpaka mwisho litakuwezesha kupiga shoo ya maana kitandani kwa muda mrefu (dk 15 na zaidi) na sio kumwaga ukigusa tu bali utaweza kurudia hata raundi 3!

Naitwa Mr. Mwaipaja.

Najua ni hali gani unaipitia. Ni kweli bila kupunguza ukali wa maneno, upungufu wa nguvu za kiume unatesa maana unakufanya mwanaume uwe mnyonge kwa mwanamke wako

Jambo la kufurahisha ni kuwa mwisho wa tatizo lako umefika. Kwa dakika 5 zijazo utaweza kugundua suluhisho la tatizo lako na jambo hilo litakupatia amani ya moyo maisha yote ya mahusiano yako.

Ndugu yangu wa karibu alipata tatizo linalofanana na lako au linalofanana na na la mtu wako wa karibu.

Kwa sababu inawezekana unasoma ujumbe huu ili umsaidie jamaa wako wa karibu au mwenzi wako

Kwa sababu nilikuwa ndugu yake wa karibu alikuwa jasiri kunihadithia kisa chake

Ndugu yangu huyu alisema alipata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa sababu alikuwa anajichua

Alifanya ivo kwa muda mrefu asijue madhara ambayo angeyasababisha hapo baadae katika maisha yake ya mahusiano

Shughuli ilianza alipoamua kuwa katika mahusiano na mwanamke Ilikuwa ni aibu.

Ndugu huyu anasema ile kugusa tu … chaliii …. Akamaliza!!

Anasema mwenzake akamuuliza

”mwenzangu kulikoni mbona unashuka kabla hatujafika?”.

Jamaa akawa hana la kusema ila kujisikia tu aibu!!

Baada ya tukio hilo jamaa akaamua apate suluhisho la tatizo lake

Unajua alifanyaje? …

Bila shaka alifanya kama wengi wanavokosea .. Akamuuliza mwenzie - “vipi naweza kupata wapi Viagra maana hali sio hali rafiki yangu”.

Akapata Viagra kama alivoelekezwa na mwenzie

Aliitumia njia hiyo kwa muda mrefu.

Mwanzoni aliona ni suluhisho lakini kadiri muda ulivyosonga akagundua anakuwa ni mtumwa wa njia hiyo kwa sababu hakuweza tena kupiga shoo bila msaada wa Viagra

Akaingia kwenye msongo wa mawazo. Asijue anapata wapi suluhisho la tatizo lake.

Ndipo kwa unyonge akanifuata na kuniambia tatizo lake. Nikamhurumia sana

Nikamweleza kuhusu matibabu tunayotoa katika kampuni yetu na jinsi yalivyowasaidia wengi lakini akaona shaka akaenda kutafuta njia zingine alizozijua yeye

Huko aliishia kupoteza pesa yake kwa mara nyingine tena maana tatizo lake halikutatuliwa.

Baada ya kugonga mwamba akajisalimisha tena kwangu akaniomba nimsaidie ajaribu matibabu tunayoyatoa sisi

Nikamwanzishia matibabu...

Alivyoanza kutumia matibabu ya dawa hizi akaona mabadiliko makubwa ndani ya muda mfupi (kama wiki moja hivi)

Hali yake ya awali ya kumwaga mapema akigusa tu ikaanza kupungua maana muda wa kuanza kumwaga ukaanza kuongezeka

Mwenza wake akaanza kumsifia kuwa ni mwanaume rijali sasa!

Hali ya kujiamini ikaanza kuongezeka

Msongo wa mawazo ukaanza kupungua

Tabasamu likaanza kuonekana katika uso wake

Baada ya kutumia dozi kamili sasa hana hilo tatizo tena

Hana upungufu tena wa nguvu za kiume!

Yawezekana Unatamani kujua jamaa huyu alitumia dawa zipi zilizomsaidia kuondokana na tatizo hilo la UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME na kumwondolea adha aliyokuwa anaipitia

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaongezeka duniani kote na linaathiri idadi kubwa ya wanaume. Afrika pia haijaachwa katika Hili

Inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2025, zaidi ya wanaume milioni 322 duniani wataathirika na hali hii, ikiwa ni ongezeko la takribani 115% tangu mwaka 1995

Kwa sasa, kiwango cha upungufu wa nguvu za kiume kinatofautiana kati ya maeneo mbalimbali

Nchini Marekani kwa mfano, takriban 42% ya wanaume wanaathiriwa

Wakati huo Ulaya ikirekodi viwango vya kati ya 42.6% na 48.6%

Aidha, baadhi ya nchi kama Nigeria zina kiwango kikubwa sana, hadi 58.9%

Kwa Tanzania, Kulingana na utafafiti uliofanywa na “Global Journals” unasema kwamba tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limeenea kwa kiasi kikubwa

Katika utafiti uliofanyika katika wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, takriban 30.4% ya wanaume watu wazima wanakabiliwa na tatizo hili

Hao ni watu wazima! Bado Vijana sasa!

Ripoti inaendelea kueleza kuwa sababu kuu zinazochangia ni umri, mtindo wa maisha, pamoja na magonjwa kama vile kisukari na shinikizo la damu

Pia, utafiti mwingine uliofanyika Moshi na “BioMed Central” unaonyesha kuwa takriban 25% ya wanaume wazima wanapata tatizo hili,

Hasa wale wenye umri mkubwa na magonjwa yanayoambatana na moyo au kisukari​

Frontiers” wao wanaenda mbali zaidi katika utafiti wao wakisema wanaume wanaoishi na virusi vya UKIMWI wanaonekana kuwa na kiwango kikubwa cha upungufu wa nguvu za kiume

Hivyo basi, tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni changamoto kubwa kwa afya ya wanaume nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Tatizo ulilonalo au linalomkabiri mtu wako wa karibu ni tatizo kubwa kwa Afrika pia kama yalivyo maeneo mengine ya Dunia.

Suluhisho la Tatizo hili ni muhimu, tena sio suluhisho tu bali suluhisho la kudumu

Sasa ni wakati wa kuijua dozi iliyomsaidia jamaa yangu kupona tatizo lake na kumuwezesha tatizo lake lisijirudie tena

Ni vigumu kutengeneza tiba ya tatizo fulani bila ya kujua chanzo cha tatizo hilo

Kampuni Inayojishughulisha na tiba iitwayo “Bright Future” katika tafiti zao wameweza kugundua namna ya kupambana na vyanzo vya tatizo la Upungufu wa nguvu za Kiume

Upungufu wa nguvu za kiume unaweza kusababishwa na matatizo mengine ya kiafya kama vile ugonjwa wa moyo, kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya tezi dume, matumizi ya dawa za kulevya, matumizi ya pombe, unene kupita kiasi, magonjwa ya neva na matatizo ya upungufu wa homoni.

Kwa jinsi gani? …

Hali hizi zinaweza kuathiri mtiririko wa damu, mishipa ya fahamu, au utendaji wa misuli ambao ni muhimu katika kuwa na au kudumisha nguvu za kiume

Matatizo ya Kisaikolojia ni kama vile msongo wa mawazo, huzuni, wasiwasi, na matatizo ya mahusiano. Hayo yanaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.

Kwa jinsi gani? …

Hisia hasi au wasiwasi wa mara kwa mara unaweza kuathiri uwezo wa ubongo kutuma ishara kwa mwili ili kusisimua nguvu za kiume

Mara nyingi, tatizo hili linaweza kuwa ni matokeo ya sababu za kimwili na kisaikolojia kwa pamoja.

Kwa jinsi gani? ….

mtu mwenye kisukari kwa mfano, anaweza kuwa na matatizo ya kimwili yanayoathiri nguvu za kiume, lakini pia wasiwasi kuhusu hali hiyo unaweza kuleta matatizo ya kisaikolojia, hivyo kufanya hali kuwa mbaya zaidi.

Si hivyo tu …

Pia kutofanya mazoezi, lishe duni na matumizi ya muda mrefu ya dawa za matibabu kunaweza kusababisha tatizo hilo liwepo

Kwa hiyo, badala ya kutibu tu dalili yaani upungufu wa nguvu za kiume, ni muhimu kufuatilia na kutibu tatizo la msingi linalosababisha hali hiyo, liwe la kimwili au kisaikolojia.

Hebu nikukumbushe kidogo nilichokieleza hapo awali …

Ni vigumu kutengeneza tiba ya tatizo fulani bila ya kujua chanzo cha tatizo hilo

kampuni ya “Bright Future” baada ya kuzichambua sababu hizo kwa undani ikaja na suluhisho la kutengeneza bidhaa za afya ambazo zinaenda kurekebisha au kuondoa vyanzo hivyo vya upungufu wa nguvu za kiume

Baada ya Utafiti huo “Bright Future” ikaja na pakeji moja inayoitwa “ManVigorStar” ambayo ina Bidhaa 3 ndani yake

Virutubisho hivi vimethibitishwa na mamlaka za Ubora, Chakula na Dawa duniani Kama vile GMP,NAFDAC, ISO, ISWA HALAL Dept, PIC/S na kwa hapa Tanzania Zimethibitishwa na TBS pamoja na TMDA

Hebu sasa tuone Viambato vilivyomo katika virutubisho hivyo na jinsi vinavyoweza kufanikisha kuondoa vyanzo vya tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Zingatia maneno “Kuondoa vyanzo vya Tatizo” Siri ipo hapo!!

Ifuatayo ni orodha ya Viambato (Ingredients) hizo …

Ginseng Extract, Tongkat Ali Extract, Maca Extract, Epimedium Extract, Coffee Latte, Black Ginger Extract, Fresh Maca, Taurine, L-Arginine.

Hivyo ndo Viambato vinavyokwenda kuondoa vyanzo vya tatizo ulilonalo au ambalo mtu wako wa karibu analo.

Vinawezaje kufanya ivo? …

Kabla sijakueleza vinawezaje kufanya ivo

Hebu kwa dakika kama 2 tuone jambo hili …

Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume Kwa Kimombo “Male Reproductive System” Unavyofanya Kazi

Mfumo wa uzazi wa mwanaume una jukumu la kuzalisha, kuhifadhi, na kusafirisha mbegu za kiume (sperms).

Ikiwa ni pamoja na kutoa homoni za kiume, hasa testosterone, ambazo ni muhimu kwa uzazi

Mfumo wa uzazi wa mwanaume unahusisha viungo mbalimbali ambavyo vinafanya kazi kwa kushirikiana

Sasa tuone Viungo hivi vinafanyaje kazi mpaka mwanaume inafikia mtambo wake kusimama kama mti mkavu usionepa!

Fuatana nami kwa dakika 2 nikudadavulie …

Korodani huzalisha homoni ya kiume iitwayo testosterone, ambayo ni msingi wa nguvu za kiume

Testosterone husaidia mwanaume kuwa na hamu ya tendo la ndoa (libido) na huimarisha mchakato wa uzalishaji wa mbegu za kiume

Kiwango cha Testosterone kikiwa chini husababisha kushuka kwa nguvu za kiume au kupoteza hamu ya tendo la ndoa

Wakati mwanaume anasisimka kingono, mishipa ya damu kwenye uume hupokea ishara kutoka kwenye ubongo, na kusababisha damu kuingia kwenye tishu za kusimika uume ziitwazo “corpora cavernosa” Tishu hizi hujaa damu, na kuufanya uume kuwa mgumu

Wakati mwanaume anasisimka, ishara za neva kutoka kwenye ubongo huchochea kuzalishwa kwa nitric oxide kwenye mishipa ya damu ya uume

Nitric Oxide hufanya mishipa hiyo kupanuka na kuongeza mtiririko wa damu kwenda kwenye tishu za kusimika uume (corpora cavernosa)

Uume huruhusu damu nyingi kuingia kwenye mishipa ya damu ya uume na kuifanya damu isirudi nyuma, na hii inasaidia kudumisha nguvu ya mtambo kusimama kwa muda mrefu hapa ndo siri ya mtambo kusimama kwa dk 15 au zaidi!

Baada ya msisimko kufikia kilele, mfumo wa neva hutoa ishara za misuli ya pelvic kujikaza, na kusababisha mbegu kutoka kupitia kwenye urethra

Hivyo ndo mfumo wa uzazi wa mwanaume unavyofanya kazi.

Mfumo ambao humwezesha Mwanaume kuwa na uwezo mzuri wa Nguvu za Kiume.

Tofauti na ivo inakuwa ni Tatizo linalohitaji matibabu ya Haraka!

Virutubisho vya “Bright Future” Vinatatuaje Tatizo?

Kiwango cha Testosterone kikiwa chini husababisha kushuka kwa nguvu za kiume au kupoteza hamu ya tendo la ndoa

Ginseng, Tongkat Ali Extract, Epimedium Extract, Maca Extract, Coffee Latte, Black Ginger Extract, Fresh Maca

Ni Viambato vinavyosaidia kuleta usawa wa homoni, haswa testosterone.

Vinajulikana kuongeza uzalishaji wa testosterone asilia, ambayo ina jukumu muhimu katika kuboresha libido (hamu ya tendo), utendaji wa tendo la ndoa, na kazi ya kusimamisha mtambo

Viambato tajwa hapo juu huboresha utendaji wa jumla wa shoo, ikiwa ni pamoja na stamina na uvumilivu na kupunguza uchovu ivo kufanya mtu asimalize haraka

Coffee Latte ambayo ni kahawa isiyo na Kafeini ambayo Imeondolewa Kitaalam. Ladha na harufu yake huchochea mhemko na kuongeza hamu ya kupiga shoo

Wakati Tangawizi Nyeusi(Black Ginger) inasaidia kuongeza viwango vya testosterone na hamu ya shoo

Wakati mwanaume anasisimka kingono, mishipa ya damu kwenye uume hupokea ishara kutoka kwenye ubongo, na kusababisha damu kuingia kwenye tishu za kusimika uume ziitwazo “corpora cavernosa” Tishu hizi hujaa damu, na kuufanya uume kuwa mgumu

Sasa Tuone Virutubisho vyetu Vinavyoweza Kufanya Mishipa ya Damu kufanya Kazi Yake Sawasawa…

Ginseng Huongeza Uzalishaji wa Oksaidi ya Naitriki (Nitric Oxide) ambayo ni muhimu kwa utulivu wa mishipa ya damu na ivo kuboresha mtiririko wa damu kwenda kwenye mtambo. Utaratibu huu husaidia kusimamisha mtambo kwa muda mrefu

Nitric Oxide inasaidia kutanua mishipa ya damu na ivo kufanya damu isafiri kwa uzuri katika mirija ya mtambo na kufanya mtambo ukakamae kama mti mkavu

Baada ya Ginseng Kupitia Nitric Oxide Kutanua Mishipa ya damu…

Epimedium huongeza Kazi ya mtiririko wa damu kwenye mtambo hii husaidia mwanaume asimamishe mtambo kwa muda mrefu wakati huo akisubiri mwenzi wake afike kilele cha mlima mrefu wa Kilimanjaro!

Kivipi? Iko Hivi:

Epimedium ina enzyme iitwayo icariin, ambayo husaidia kuzuia kimeng'enya cha PDE5

PDE5 (Phosphodiesterase type 5) ni enzyme ambayo mwanaume unayo kwa asili inayohusika na kuvunja cyclic guanosine monophosphate (cGMP) katika mwili ili kudhibiti kiwango chake

cGMP ndio inayoachia na kuifanya misuli ya mishipa ya damu ya sehemu za siri iwe laini na ivo kurahisisha mtiririko wa damu kwenye uume wakati wa kusisimka, hali inayowezesha kusimama kwa uume au mtambo.

Sasa kwa Nini PDE5 iwe tena Tatizo?

PDE5 inatakiwa ivunje cGMP kwa uwiano ulio mzuri na si kwa haraka, Ikitokea inavunja kwa haraka inasababisha kupungua kwa mtiririko wa damu, na kusababisha shida ya kusimama kwa mtambo.

Ikiwa PDE5 inavunja cGMP haraka sana, mishipa ya damu inarudi kwenye hali yake ya kawaida haraka, na uume hauwezi kusimama kwa muda unaohitajika

Hapo ndo Icariin inakuja kuokoa Jahazi!!

Kwa vipi?

Icariin inapatikana kutokana na Kiambato cha Epimedium kilichomo ndani ya Pakeji ya “ManVigorStar

Icariin Inavyofanya Kazi Kuhakikisha PDE5 Inakuwa Na Nidhamu Kuvunja cGMP Inayowezesha Mashine iweze Kusimama Kwa Muda Mrefu

Icariin, ambayo hupatikana katika mmea wa Epimedium ikjulikana kama "Horny Goat Weed", ina uwezo wa kudhibiti enzyme ya PDE5 kwa kuizuia isivunje cGMP kwa haraka

Mmea wa Epimedium Unajulikana kama “Horny Goat Weed” huko China

Ndio Unawezesha Beberu kuweza kupiga Shoo bila kuchoka na kupanda majike ya kutosha kwa siku bila kuchoka!!

Baada ya Wataalam wa Tiba ya binadamu wa huko China kujiuliza kwa nini mbuzi (beberu) wanapokula mmea huo shoo inakuwa ya hatari wakauchukua mmea na kuuchunguza na kugundua una Icariin ambayo ni switch ya kuidhibiti PDE5 isicheze rafu yaani kuivunja cGMP kwa haraka sana

Kwa Lugha Rahisi …

Icariin ni refarii wa mchezo kati ya Timu PDE5 na cGMP. Mchezo Unatakiwa uwe fair kwa maana kwamba PDE5 isicheze rafu ya kuifanya cGMP ivunjwe kwa Kasi sana

Jinsi Icariin inavyozuia PDE5 Isicheze Rafu ya kuifanya cGMP kuvunjwa kwa Kasi sana

Icariin inafanya kazi kwa kushikamana na enzyme ya PDE5 na ivo kuizuia uwezo wake wa kuvunja cGMP kwa haraka au kwa kasi

Kwa kuzuia kuvunjwa kwa kasi kwa cGMP, icariin husaidia kudumisha viwango vya juu vya cGMP kwenye misuli laini ya mishipa ya damu ya sehemu za siri za mwanaume

Hii huwezesha mishipa ya damu kulegea na kuachia damu kuingia kwa urahisi, hali inayosaidia kudumisha kusimama kwa Mashine au Mtambo Kadiri damu ya kutosha itakavyoingia ndivyo mashine itakavyozidi kuwa ngumu kama mti mkavu!

Mfadhaiko na Wasiwasi Vinavyochangia Upungufu Wa Nguvu Za Kiume

Mfadhaiko na wasiwasi ni vitu vinavyochangia mara kwa mara tatizo la kushindwa kusimamisha Mashine

Bidhaa zetu Hazijakuacha Yatima Katika Hili

Sehemu ya Viambato vilivyomo katika Pakeji ya “ManVigorStar” Kama vile

Tongkat Ali Extract , Epimedium na Maca Extract

Hupunguza …

Mfadhaiko, Msongo wa Mawazo, Uchovu na wasiwasi, kuchangia kuboresha viwango vya nishati na hali ya akili iliyotulia, hivyo kufaidika na utendaji wa tendo la ndoa

Viambato vya Tongkat Ali Extract na Maca Extract ni Adaptogens

Adaptogens ni mimea au virutubisho vinavyosaidia mwili kukabiliana na mfadhaiko na kuweka usawa wa homoni kama cortisol (homoni ya mafadhaiko)

Adaptogens zina uwezo wa kusaidia kupunguza viwango vya cortisol.

Cortisol inapokuwa juu kwa muda mrefu, inaweza kuathiri vibaya uzalishaji wa homoni nyingine kama testosterone na estrogeni, ambazo ni muhimu kwa utendaji mzuri wa shoo

Kwa kudhibiti cortisol, adaptogens husaidia kuweka homoni hizi kwenye usawa, na hivyo kuboresha afya ya uzazi na hamu ya shoo

Adaptogens zina sifa ya kupunguza wasiwasi, ambazo huwezesha mwili na akili kustarehe zaidi.

Hii inaweza kusababisha kuongezeka kwa kujiamini na utulivu, na hivyo kuboresha utendaji wa ngono

Hivyo ndo Virutubisho vyetu viavyoweza kutatua tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume

Virutubisho vyenye ubora wa hali ya juu kuweza kutatua tatizo lako au la mtu wako wa karibu mwenye Upungufu wa Nguvu za Kiume

Kiufupi baada ya kutumia “ManVigorStar”:

Mwenzi wako hatakuchukulia poa tena bali atakukumbuka siku zote kwa shoo unayompelekea

Hofu ya kumwaga sekunde kadhaa baada ya mashine kuingia kwenye uke itatoweka kabisa

Utakuwa na uwezo wa kusimamisha uume zaidi ya dakika 15 kitu ambacho kitamfanya mwenzi wako

atakukumbuka wakati wote kwa sababu ya raha utakazokuwa unampatia

Hali ya kuhisi usingizi au uchovu haitakutokea tena.

Utajihisi mwenye nguvu muda wote wa shoo kitandani

Kurudia raundi zaidi ya mara 3 itakuwa ni kitu kidogo sana kwako mpaka mwenzi wako ataomba apumzike kwanza

Icariin inafanya kazi kwa kushikamana na enzyme ya PDE5 na ivo kuizuia uwezo wake wa kuvunja cGMP kwa haraka au kwa kasi

Kwa kuzuia kuvunjwa kwa kasi kwa cGMP, icariin husaidia kudumisha viwango vya juu vya cGMP kwenye misuli laini ya mishipa ya damu ya sehemu za siri za mwanaume

Hii huwezesha mishipa ya damu kulegea na kuachia damu kuingia kwa urahisi, hali inayosaidia kudumisha kusimama kwa Mashine au Mtambo Kadiri damu ya kutosha itakavyoingia ndivyo mashine itakavyozidi kuwa ngumu kama mti mkavu!

Zifuatazo ni shuhuda za baadhi ya watu kati ya wengi walioweza kutumia Pakeji ya ManVigorStar

Shuhuda

“Nilikumbwa na matatizo ya kushuka kwa nguvu za kiume, uchovu wa mwili, na msongo wa mawazo, hali iliyovuruga ndoa yangu. Baada ya kujaribu Xpower Coffee na Xpower Man Plus kutoka Bf Suma, niliona mabadiliko makubwa. Ndani ya siku chache, nilipata nguvu na baada ya wiki mbili, hamasa na kujiamini vikarejea. Sasa maisha yangu ya ndoa na kazi yameimarika sana.”

Juma, 38 – Dar es Salaam

“Nilikuwa na tatizo la kupungua kwa nguvu za kiume, uchovu, na kushuka kwa hamasa ya tendo la ndoa. Baada ya kuanza kutumia Xpower Coffee na Xpower Man Plus kutoka Bright Future, hali yangu ilibadilika kabisa. Ndani ya miezi miwili, nguvu, hamasa, na ufanisi wangu kwa mwenzi wangu vimerudi kama zamani.”

Abdul, 45 – Songea

“Nilihisi uchovu wa mara kwa mara na kushuka kwa hamasa, hali iliyovuruga uhusiano wangu wa kimapenzi. Nilianza kujitenga na kupoteza furaha ya kila siku. Baada ya kuanza kutumia bidhaa za Bright Future, nguvu na hamasa zilirudi kwa kasi. Hata mwenzi wangu aliona mabadiliko. Nashukuru Bf Suma kwa kubadili maisha yangu.”

Musa, 42 – Mtwara

Inagharimu Kiasi Gani Kupata Tiba ya Pakeji Hii Ya ManVigorStar?

Ukilinganisha bei ya Pakeji ya "ManVigorStar" na dawa zingine za Tezi Dume ambazo kimsingi hata hazimalizi tatizo likaisha kabisa wewe binafsi utapendekeza bei ya Pakeji ya "ManVigorStar" iwe juu.

Na ukizingatia wateja wetu wengi waliotumia Pakeji ya "ManVigorStar" wameweza kuondokana na changamoto ya Tezi Dume ndani ya muda mfupi na pasipo kuendelea kupoteza pesa kwenye madawa mengine ya gharama ambayo hayafanyi kazi wengi wao wanasema hata gharama ya Pakeji ya "ManVigorStar" ingekuwa 2,000,000 wangenunua!.

Inagharimu Kiasi Gani Kupata Tiba ya Pakeji Hii Ya ManVigorStar?

Ukilinganisha bei ya Pakeji ya ManVigorStar na dawa zingine za kuongeza nguvu za kiume ambazo kimsingi hata hazimalizi tatizo likaisha kabisa binafsi utapendekeza bei ya Pakeji ya ManVigorStar iwe juu.

Na ukizingatia wateja wetu wengi waliotumia Pakeji ya ManVigorStar wameweza kuondokana na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume ndani ya muda mfupi na pasipo kuendelea kupoteza pesa kwenye Busta na madawa mengine ya gharama ambayo hayafanyi kazi wengi wao wanasema hata gharama ya Pakeji ya ManVigorStar ingekuwa 2,500,000 wangenunua.

Nakubaliana nao.. Kwa nini? …

Nilishtushwa baada ya kuona Tangazo moja la Jamii Forum Kuhusu Matibabu ya Nguvu za Kiume pale Hospitali ya Benjamin Mkapa Iliyopo Dodoma

Je, uko tayari kupitia yote hayo wakati kuna njia mbadala na salama, isiyo na maumivu, na yenye matokeo ya kudumu?

Suluhisho ni Dozi ya BF Suma – Matibabu ya Asili Bila Upasuaji!

Kwa Tsh. 595,000/= tu, unaweza kupata dozi ya mwezi mmoja ambayo:

> Itaondoa uvimbe wa tezi dume bila upasuaji

> Haitadhuru nguvu za kiume – utaendelea kuwa na afya ya uzazi

> Haitakufanya upoteze uwezo wa kuzuia mkojo

> Itasaidia afya ya kibofu na mfumo wa mkojo kwa ujumla

> Itafanya kazi polepole lakini kwa matokeo ya kudumu

👉 Kwa nini ufanye upasuaji wenye madhara wakati unaweza kupata suluhisho la asili na lenye manufaa zaidi?

Kama utashindwa kutoa 595,000/= yote kwa pamoja,

usijali…

Unaweza kuanza kidogo kidogo mpaka kumaliza dozi kamili.

Nimeweka utaratibu wa mtu kuchukua kwa awamu.

Unaweza kuchukua dozi kila baada ya wiki moja ili mradi kuwe na muunganiko wa matumizi kwa maana kwamba usiruke siku

Lakini kama uwezo wako unaruhusu nakushauri uchukue dozi kamili kwa sababu uhitaji wa Pakeji ya ProstateStar ni mkubwa sana....

Unaweza kuhitaji baadae na ukakosa ukakuta bidhaa hizo hazipatikani na ivo ukaharibu mpangilio wa Dozi.

Kwahiyo weka ODA yako mapema.

Hivyo ni vyema ukachukua dozi yako sasa hivi.

Na kama utaondoka kwenye ukurasa huu pasipo kuweka ODA yako kuna uwezekano mkubwa pindi utakaporudi, ukakuta bidhaa zimeisha.

Kama utashindwa kutoa ,000/= yote kwa pamoja,

Hivyo basi usitoke kwenye ukurasa huu bila kuweka ODA yako kwa sababu uhitaji wa pakeji hii ni mkubwa sana...

Inagharimu Kiasi Gani Kupata Tiba ya Pakeji Hii Ya ManVigorStar?

Ukilinganisha bei ya Pakeji ya ManVigorStar na dawa zingine za kuongeza nguvu za kiume ambazo kimsingi hata hazimalizi tatizo likaisha kabisa binafsi utapendekeza bei ya Pakeji ya ManVigorStar iwe juu.

Na ukizingatia wateja wetu wengi waliotumia Pakeji ya ManVigorStar wameweza kuondokana na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume ndani ya muda mfupi na pasipo kuendelea kupoteza pesa kwenye Busta na madawa mengine ya gharama ambayo hayafanyi kazi wengi wao wanasema hata gharama ya Pakeji ya ManVigorStar ingekuwa 2,500,000 wangenunua.

Nakubaliana nao.. Kwa nini? …

Nilishtushwa baada ya kuona Tangazo moja la Jamii Forum Kuhusu Matibabu ya Nguvu za Kiume pale Hospitali ya Benjamin Mkapa Iliyopo Dodoma

Je, uko tayari kupitia yote hayo wakati kuna njia mbadala na salama, isiyo na maumivu, na yenye matokeo ya kudumu?

Suluhisho ni Dozi ya BF Suma – Matibabu ya Asili Bila Upasuaji!

Kwa Tsh. 595,000/= tu, unaweza kupata dozi ya mwezi mmoja ambayo:

> Itaondoa uvimbe wa tezi dume bila upasuaji

> Haitadhuru nguvu za kiume – utaendelea kuwa na afya ya uzazi

> Haitakufanya upoteze uwezo wa kuzuia mkojo

> Itasaidia afya ya kibofu na mfumo wa mkojo kwa ujumla

> Itafanya kazi polepole lakini kwa matokeo ya kudumu

👉 Kwa nini ufanye upasuaji wenye madhara wakati unaweza kupata suluhisho la asili na lenye manufaa zaidi?

Kama utashindwa kutoa 595,000/= yote kwa pamoja,

usijali…

Unaweza kuanza kidogo kidogo mpaka kumaliza dozi kamili.

Nimeweka utaratibu wa mtu kuchukua kwa awamu.

Unaweza kuchukua dozi kila baada ya wiki moja ili mradi kuwe na muunganiko wa matumizi kwa maana kwamba usiruke siku

Lakini kama uwezo wako unaruhusu nakushauri uchukue dozi kamili kwa sababu uhitaji wa Pakeji ya ProstateStar ni mkubwa sana....

Unaweza kuhitaji baadae na ukakosa ukakuta bidhaa hizo hazipatikani na ivo ukaharibu mpangilio wa Dozi.

Kwahiyo weka ODA yako mapema.

Hivyo ni vyema ukachukua dozi yako sasa hivi.

Na kama utaondoka kwenye ukurasa huu pasipo kuweka ODA yako kuna uwezekano mkubwa pindi utakaporudi, ukakuta bidhaa zimeisha.

Kama utashindwa kutoa ,000/= yote kwa pamoja,

Hivyo basi usitoke kwenye ukurasa huu bila kuweka ODA yako kwa sababu uhitaji wa pakeji hii ni mkubwa sana...

Unaweza kuwa na hofu ukijiuliza itakuwaje ikiwa pakeji hii haitaweza kufanya kazi!

Naelewa kabisa hata mimi ningekuwa kwenye nafasi uliyopo kwa sasa lazima ningekuwa na wasiwasi wa kupoteza pesa yangu, lakini ili kukuondolea wasiwasi huo bidhaa hii utaipata kwa dhamana (Guarantee)

Mpangilio wa Dozi ni kama ifuatavyo:

Dozi ya Wiki Ya Kwanza 245,000/= 210,000/=

Dozi ya Wiki Ya Pili 125,000/= 95,000/=

Dozi ya Wiki Ya Tatu 215,000/= 195,000/=

Dozi ya Wiki ya Mwisho 125,000/= 95,000/=


MATUMIZI YA DOZI:


Refined Yunzhi:

Utakunywa 2x2, yaani Capsule 2 Asubuhi na Capsule 2 jioni


Utakunywa Baada Ya Kula.


ProstatRelax:

Utakunywa 2x3, yaani Capsule 2 Asubuhi, Capsule 2 Mchana na Capsule 2 jioni


Pure & Broken:

Utakunywa 2x1, yaani Capsule 2 Asubuhi au Jioni ila kama unakunywa asubuhi iwe ni asubuhi kila siku na kama unakunywa jioni basi iwe ni jioni kila siku.


Utakunywa Baada Ya Kula.


Malipo Yanafanyikaje?


Jibu ni Hili…


Malipo yote yanafanyika kwa njia ya M-pesa au NMB Bank.


Utapata Njia Ya Malipo Hayo Baada Ya Kutuma ODA yako.


Utafanyiwa Free delivery popote utakapokuwa ndani ya Tanzania.


Hii inamaanisha gharama za kusafirisha mzigo mpaka kukufikia ulipo ni juu yangu.



Kwa mteja wa Dar es Salaam


hutakiwi kutuma hela kwa sababu utaletewa mpaka utakapokuwa

kwa gharama zangu mwenyewe kulingana na makubaliano baada ya kupigiwa simu, halafu baada ya kupokea mzigo wako ndipo utakapofanya malipo.


Kwa mteja wa Nje ya Dar es salaam:


unalipa kwanza pesa yote ya dozi utakayokuwa umechagua


kupitia moja ya account za malipo zilizotajwa hapo juu halafu baada ya kulipia


gharama ya kusafirisha mzigo mpaka ukufikie popote ulipo ndani ya Tanzania ni juu yangu.


Kwa hiyo hatua ya kwanza ni kujaza fomu ya kutuma oda yako


halafu baada ya hapo kama upo Dar utasubiri kuletewa siku utakayochagua


Na..


Kama upo mkoani yaani nje ya Dar, baada ya kujaza fomu utafanya malipo kwanza ya gharama ya dozi


halafu gharama za usafiri itakuwa juu yangu. Nitakuagizia mzigo wako mkoani ulipo kwa njia ya bus au boti kwa wale waliopo Zanzibar


Kujaza fomu ya kuweka ODA ni rahisi.


Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa POKEA ODA YANGU.


Baada ya kubonyeza sehemu hiyo utafunguka ukurasa mpya wenye fomu.


Jaza fomu hiyo kikamilifu na kisha itume.


Mara baada ya kupokea fomu yako msaidizi wangu atakupigia au mimi mwenyewe nitakupigia simu


kukujulisha kama ODA yako imepokelewa kikamilifu.


Bonyeza sehemu hii sasa hivi:


Au


Unaweza kuweka ODA yako Kwa kupiga simu moja kwa moja kwenda 0767 378 378

P.S: Nakumbushia tena kwamba uhitaji wa Pakeji hii ni mkubwa sana.


Watu wengi wanaweka ODA kwahiyo muda wowote bidhaa tulizonazo kwenye stoo yetu zinaweza kuisha.


Kwahiyo hakikisha hutoki kwenye ukurasa huu bila kuweka ODA yako kwa sababu kadri unavyozidi kusubiri siku hadi siku ndivyo ambavyo tatizo linazidi kuwa kubwa na sugu hivyo kufanya uwe hatarini kuweza kupata Kansa Ya Tezi Dume.


Ukifikia hali hiyo matibabu yatakuwa ni ghali zaidi na hata kuhatarisha maisha yako.


Na kumbuka pakeji hii ni muhimu kwa kuwa itakusaidia kumaliza kabisa tatizo lako na kuisha kabisa.


Tatizo lisipoisha una haki ya kudai kurudishiwa pesa zako zote.


Hata hivyo utakavyoanza kutumia Pakeji ya ProstateStar utastaajabishwa kwa matokeo ya haraka


utakayoanza kuyaona na kwa kuwa utakuwa na furaha kubwa hutakumbuka kuomba hela yako


badala yake utakuwa ukiwahamasisha ndugu na jamaa zako wenye tatizo kama lako watumie Pakeji ya ProstateStar.


Kwahiyo kabla hali haijawa mbaya zaidi pata suluhisho la uhakika kwa kuweka oda yako hapa chini.


Kuweka ODA ni rahisi.


Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa POKEA ODA YANGU.


Baada ya kubonyeza sehemu hiyo utafunguka ukurasa mpya wenye fomu.


Jaza fomu hiyo kikamilifu na kisha itume. Mara baada ya kupokea fomu yako msaidizi wangu au mimi


mwenyewe nitakupigia simu kukujulisha kama ODA yako imepokelewa kikamilifu.


Ni Mimi Ninayejali Afya Yako,

Mr Mwaipaja.

(Dar es Salaam)

OFA ITAKOMA BAADA YA SAA HII KUZIMA

This Site is Not Part of the FacebookTM, Website or FacebookTM Inc. Additionally, This is NOT Endorsed by FacebookTM in Any Way FacebookTM is a Trademark of Facebook, Inc.