IJUE BF SUMA

Kuna Aina 4 za Kipato Duniani

1. Kuajiriwa & Kujiajiri:
Unafanya kazi kubwa, kipato kidogo. Hakitoshelezi mahitaji.

2. Uwekezaji & Biashara Kubwa:
Hapa pana kipato endelevu na uhuru wa muda.

Ukweli Mchungu Ni Huu:


95% ya watu duniani huajiriwa au kujiajiri lakini ni 5% tu ndo wana biashara kubwa na uwekezaji

Lakini asilimia hiyo 5 ndo ambao humiliki asilimia 95 ya uchumi wa dunia.

Je Umewahi Kujiuliza:


Ukishindwa kufanya kazi miezi 6

utaweza kupata mahitaji yako ya kila siku bila kuwategemea watu wengine wakusaidie?


Kama hutaweza basi unapaswa utafute chanzo kitakachokupatia kipato endelevu kitakachokulinda hata utakaposhindwa kufanya kazi

Kutokana na sababu ya ama kuugua, kuachishwa kazi au biashara yako kukwama

Naipendekeza Kwako:

BIASHARA YA MTANDAO


Huu ni mfumo wa biashara unaoweza kujiunga kwa mtaji mdogo lakini ukapata mafanikio makubwa hapo baadae.

Biashara ambayo itakupatia kipato endelevu kitakachokulinda hata utakaposhindwa kufanya kazi

Jinsi Biashara Hii Inavyofanya Kazi:


Utauza bidhaa moja kwa moja, kama vile virutubisho na kupata kipato kutoka kwa mauzo yako na ya walio chini yako.

Wewe utaalika ndugu, jamaa na marafiki wajiunge na biashara na wao watafanya kama wewe ulivyofanya.

Kadiri kila mmoja atavyomshirikisha mwingine timu yako itakua na kuwa kubwa

Kampuni inayojihusisha na biashara ya mtandao itakulipa kwa mauzo au matumizi yako binafsi

lakini pia itakulipa kwa mauzo au matumizi ya bidhaa ya timu yako.

Sasa Naitambulisha Kwako:

BF SUMA

Kampuni ya kimataifa ya biashara ya mtandao.

Kampuni Hii Inajihusisha Na Biashara Ya Virutubisho Lishe

Hebu Tujifunze kuhusu BF SUMA

BF SUMA NI NINI:

FAIDA NAMBA (1) YA BF SUMA:

Baadhi Ya Bidhaa Za BF SUMA

FAIDA NAMBA (2) YA BF SUMA:

FAIDA NAMBA (3) YA BF SUMA:

Kwa Mfano:

Ukiwa na timu ya watu 300 tu, kila mmoja akitumia au kuuza bidhaa za Tsh. 100,000/= kwa mwezi,

Kiwango ambacho ni cha chini,

Wengi huuza zaidi ya kiasi hicho!

Timu yako itazalisha jumla ya Tsh. 30,000,000/= kwa mwezi.

Ukilipwa malipo ya 5% ya Mil 30:

💰 Kipato chako kitakuwa Tsh. 1,500,000/= kila mwezi kama kipato cha ziada!

Ukifikia hatua hiyo ndo ambayo hata ukishindwa kufanya kazi

kwa sababu yoyote ile bado utaendelea kupata pesa ya kujikimu mahitaji yako yote.

Sasa jiulize timu yako itakapofikia watu 1,000 utakuwa unaingiza kiasi gani cha pesa!

👉 Kumbuka kadiri timu yako itakavyokua, kipato chako kitaongezeka pia!

FAIDA NAMBA (4) YA BF SUMA:

FAIDA NAMBA (5) YA BF SUMA:

Moja Kati Ya Safari Hizo

FAIDA NAMBA (6) YA BF SUMA:

Baadhi Ya Zawadi Za Gari

FAIDA NAMBA (7) YA BF SUMA:

Nyumba Ya kisasa Inayotolewa na BF SUMA ni sawa na kiinua mgongo kinachotolewa serikalini,

lakini tofauti kubwa ni kwamba ukiwa BF SUMA utaweza kupata zaidi ya Tsh. milioni 460.

Itakayokuwezesha Kujenga Nyumba Ya Kisasa.

Kila baada ya miaka mitano ukikidhi vigezo vilivyowekwa

BF SUMA HAIPO TU TANZANIA

Kujiunga na BF SUMA

Utahitajika Ujisajili

Usajili Utafanyika katika:

DUKA LA BF SUMA:

Maelekezo Utapata Kwangu.

Gharama Ya Kujiunga Ni:

Tsh 150,000/=

Katika Pesa Hiyo:

Tsh 56,000:

Utapewa mfumo wa biashara

pamoja na:

badge, kitabu na mpango wa masoko.

Tsh 94,000:

Utachagua bidhaa za fedha hiyo.

Je Ukiwa Nje ya Tanzania?


Gharama itabadilishwa kulingana na thamani ya fedha ya nchi yako.

Kama Hakuna Duka la BF SUMA:

Tutakubaliana njia mbadala ya usajili kama hakuna duka karibu.

TUMEKUANDALIA TOVUTI

Itakayokurahisishia kazi

kufanya ufikie mafanikio kwa muda mfupi.

Tovuti Ambayo:

Itafanya kazi kwa asilimia 90

Wewe ukifanya asilimia 10 pekee

Kuipata Tovuti Hii Ingekugharimu:

Tsh. 450,000/=

Lakini Sasa Utaipata

BURE

Ukijiunga Katika Timu Yetu

Gharama utakayotoa pekee ni ya:

BF SUMA

Tsh. 150,000/=

Ofa Hii Si Ya Kudumu

Inaweza Kukoma Wakati Wowote!

Ili Usikose Ofa Hii:

Ikakugharimu

450,000 + 150,000 = 600,000/=

badala ya Tsh. 150,000 pekee

AU

Wasiliana Nami

Mr. Mwaipaja

Kupitia

(+255 767 378 378)

JE, BADO UNA HOFU?

Hofu Zipi Zinakufanya Usijiunge?

Je Ni Hofu Ya Kudanganywa?

Usiwe na wasiwasi

BF SUMA SIO UPATU!

Ni kampuni halali iliyosajiliwa na mamlaka rasmi katika kila nchi ambayo inaendesha shughuli zake za biashara ya Mtandao.

Kwa mfano Tanzania:

Imesajiliwa na

BRELA, TBS, na TMDA.

Pia,

Imethibitishwa na mamlaka za kitaifa na kimataifa.

Je Ni Hofu Ya Mauzo?

Ni kweli kuwa sio kila mtu ana ujuzi wa kuuza.

Kwa kujua Hilo

Tumekuandalia Tovuti itakayoeleza bidhaa kwa niaba yako.

Je Ni Hofu Ya Kujenga Mtandao?

Kama hujui kushawishi au kuwasiliana,

Tovuti utakayotengenezewa itaelezea biashara kwa watu kwa niaba yako.

Je Ni Hofu ya Mapato Ya Uhakika?

Kwa kutumia Tovuti Utakayopewa

utapata mauzo hata utakapokuwa ndo kwanza umejiunga

Wakati ambao utakuwa sio mtaalamu sana wa Mauzo.

Tovuti kama utakayotengenezewa itakusaidia kufafanua bidhaa na Tiba mbalimbali kwa wateja wako

Je Ni Hofu Ya Kukosa Muda?

Kama ulivyoelezwa hapo awali

Tovuti itafanya kazi kwa asilimia 90 na wewe asilimia 10 hivyo muda utakuwa sio tatizo tena kwako.

Ushuhuda Wa

Wanaotumia Tovuti

Jiunge Sasa BF SUMA

Ingia WhatsApp!

Andika Neno

"NIUNGE"

AU

Wasiliana Nami

Mr. Mwaipaja

Kupitia

(+255 767 378 378)

This Site is Not Part of the FacebookTM, Website or FacebookTM Inc. Additionally,

This is NOT Endorsed by FacebookTM in Any Way FacebookTM is a Trademark of Facebook, Inc.